PICHA NA MATUKIO

Siku ya kusherehekea miaka 63 ya Uhuru | 07.12.2024 | Frankfurt

Mwenyekiti wa Umoja wa waTanzania Ujerumani (UTU) Bi Miriam Liebhart akitoa hotuba yake kwa mgeni rasmi (kwa niaba ya balozi) na wanachama siku ya kusherehekea miaka 63 ya Uhuru wa Tanzania katika hoteli ya Domicil mjini Frankfurt.
4
Baadhi ya wageni waalikwa wakipiga picha pamoja na mgeni rasmi mwakilishi wa balozi, wakati wa kusherehekea sikukuu ya Uhuru wa Tanzania.

Msaada

Tufuatilie

Kuwa karibu zaidi na pata habari kuhusu matukio, miradi nakadhalika kupitia mitandao ya kijamii.

Copyright 2024 UTU. All rights reserved.